Thursday 24 April 2014

TANZANIA: BURUNDI YATIA TIMU KESHO KWA MECHI YA KIRAFIKI


Timu ya taifa ya Burundi 'Intamba Mu Rugamba' itakuja kesho nchini kwa mechi ya kimataifa ya kirafiki na Taifa Stars katika uwanja wa Taifa...Afisa wa habari wa TFF (Tanzania Football Federation) bwana Boniface Wambura alisema kwamba timu hiyo ya Burndi itawasili kesho saa 12 jioni wakiingia na Kenya Airways na pia ni katika kusherehekea miaka 50 ya muungano...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment