Timu ya taifa ya Burundi 'Intamba Mu Rugamba' itakuja kesho nchini kwa mechi ya kimataifa ya kirafiki na Taifa Stars katika uwanja wa Taifa...Afisa wa habari wa TFF (Tanzania Football Federation) bwana Boniface Wambura alisema kwamba timu hiyo ya Burndi itawasili kesho saa 12 jioni wakiingia na Kenya Airways na pia ni katika kusherehekea miaka 50 ya muungano...Bofya upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 24 April 2014
TANZANIA: BURUNDI YATIA TIMU KESHO KWA MECHI YA KIRAFIKI
Timu ya taifa ya Burundi 'Intamba Mu Rugamba' itakuja kesho nchini kwa mechi ya kimataifa ya kirafiki na Taifa Stars katika uwanja wa Taifa...Afisa wa habari wa TFF (Tanzania Football Federation) bwana Boniface Wambura alisema kwamba timu hiyo ya Burndi itawasili kesho saa 12 jioni wakiingia na Kenya Airways na pia ni katika kusherehekea miaka 50 ya muungano...Bofya upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment