Tuesday 29 April 2014

PFA: MCHEZAJI BORA WA MWAKA NI LUIS SUAREZ


Luis Suarez amekuwa mchezaji bora wa mwaka...Amepaya tuzo hiyo kutokana na umahiri wake wa kucheza na kufunga magoli mengi...Kwa sasa Suarez anamagoli 30 hapo ukumbuke akikaa bila kucheza mechi 10 baada ya kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu baada ya kung'ata Branislav Ivanovic...Baada ya hapo Arsenal walikuwa wanamtaka kwa £40,000 lakini John W. Henry ambaye ni mmiliki wa wa Liverpool aligoma kumuuza...Sasa Suarez ni mchezaji bora wa soka mwaka huu...Hongera zake Suarez kutoka kwa Max Sports Blog...Bofya hapa usome zaidi kuhusu Suarez




No comments:

Post a Comment