Kocha machachari Jose Mourinho apigwa faini na kupewa onyo kali kutokana na vituko vyake uwanjani...Faini hii inatokana na Jose kumfuata refa uwanjani kwenye game kati ya Chelsea na Aston Villa na kumshambulia kwa maneno akitaka kujua kwanini amempa red card Ramires...Jose amesema atakata rufaa...Bofya upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 11 April 2014
EPL: JOSE APIGWA FAINI
Kocha machachari Jose Mourinho apigwa faini na kupewa onyo kali kutokana na vituko vyake uwanjani...Faini hii inatokana na Jose kumfuata refa uwanjani kwenye game kati ya Chelsea na Aston Villa na kumshambulia kwa maneno akitaka kujua kwanini amempa red card Ramires...Jose amesema atakata rufaa...Bofya upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment