Saturday 26 April 2014

TENNIS: RAFAEL NADAL AGONGA UKUTA


Rafael Nadal, bingwa wa clay court, amegonga ukuta na kuangukia pua baada ya kuchapwa na Nicolas Armagro huko Barcelona...Nadal amemaliza mechi zake 41 bila kufungwa na sasa ametolewa kwenye robo fainali ya hayo mashindano ya Barcelona...Nadal pia alifungwa kwenye mashindano ya Monte Carlo Masters na David Ferrer...Almargo, namba 20 duniani, ambae amejarubu kumfunga Nadal mara 11 alifanikiwa kumchapa Nadal kwenye match pint ya pili 2-6, 7-6 (5), 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment