Thursday 24 April 2014

NBA PLAYOFFS: BLAZERS WAKO MOTO


Portland Trail Blazers wameshinda Game 2 dakika chache zilizopita...Blazers wamemchapa Houston Rockets 112-105...LaMarcus Adridge afanya mambo na kupachika pointi 43 na hii ni mara ya pili anavuka pointi 40 kwenye game...Hii ni mara ya kwanza mchezaji kupata pointi 40 mara 2 kwenye game toka LeBron James alivyo fanya hivyo Mwezi wa 5, 2009...Dwight Howard nae alikuwa moto kipindi cha kwanza na alipata pointi 25 lakini badae akapunguza kasi...


No comments:

Post a Comment