Tuesday 29 April 2014

EPL: ARSENAL YAINGIA CHAMPIONS LEAGUE KWA MARA YA 17


Arsenal FC jana usiku ilifanikiwa kulinda nafasi yake ya 4 baada ya ushindi mkubwa wa mabao 3-0 Newcastle United...Arsene Wenger alifurahi ukurudi kwa Mesut Ozil na Ramsey maana ndio waliobadilisha game..Hii ni mara ya 17 mfululizo Arsenal inaenda kucheza soka la mabingwa la Ulaya....Bofya hapa upate mambo yalivyo kwenda...

No comments:

Post a Comment