Monday 24 March 2014

VPL: SIMBA CHALI

Coastal Union ya Tanga

Simba S. C. ilichapwa na Coastal Union ya Tanga bao 1-0...Hali hii inaifanya Simba kuanza kusahau ubingwa wa Premier Tanzania...Sehemu nyingine Azam waliweza kuendeleza ushindi baada ya kuwachapa JKT Oljoro 1-0 katika uwanja wa Chamazi Complex...

No comments:

Post a Comment