Kwa wale wapenzi wa mashindano ya pikipiki MotoGP watafurahi kusikia msimu wa mwaka huu unaanza jumapili weekend hii...MotoGP mwaka huu ambayo itaanza huko Losail Qataar itakuwa na racing circuit mpya huko Argentina...Bingwa wa MotoGP mwaka jana Marc Marquez katika jaribio lake la kwanza alishinda mashindano hayo na mwaka huu ni mmoja wa watu wanaotazamiwa kufanya vizuri japo alivunja mguu mwezi uliopita...Pata habari za MotoGP hapa
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 19 March 2014
MOTOGP: MSIMU UNAANZA WEEKEND
Kwa wale wapenzi wa mashindano ya pikipiki MotoGP watafurahi kusikia msimu wa mwaka huu unaanza jumapili weekend hii...MotoGP mwaka huu ambayo itaanza huko Losail Qataar itakuwa na racing circuit mpya huko Argentina...Bingwa wa MotoGP mwaka jana Marc Marquez katika jaribio lake la kwanza alishinda mashindano hayo na mwaka huu ni mmoja wa watu wanaotazamiwa kufanya vizuri japo alivunja mguu mwezi uliopita...Pata habari za MotoGP hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment