Saturday 29 March 2014

CHAMPIONSHIP: TIMU KALI ZINAKUTANA LEO

Leicester timu inayoongoza mashindano ya Championship ambayo yako cini ya Premiership leo watakutana na Burnley ambao ni namba mbili kwenye ligi hiyo wote wakufukuzia kombe hilo kubwa...Mechi ndio imeanza mida hii...Usikose kucheki hii mechi...Hapo chini ni msimamo wa ligi hiyo...



Burnley v Leicester (1215 GMT)
Championship table


Unaweza kupata Live Comentary hapa...

No comments:

Post a Comment