Saturday 29 March 2014

TENNIS: SERENA KUZICHAPA NA LI NA


Serena Williams kwa mara ya 15 sasa kamchapa maria Sharapova na kuingia fainali na mkali wa tennis kutoka China Li Na katika michuano mikali ya tennis ya Sony Open huko Miami Marekani...Li na alimchapa Dominika  Cibulkova 7-5 2-6 6-3...Serena ni namba 1 duniani na Li na ni namba 2 katika rankings za dunia...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment