Wednesday 26 March 2014

EPL: ARSENAL YAPUNGUZWA KASI KIDOGO



Arsenal jana ilipunguzwa kasi yake ya kuwania ubingwa wa Uingereza baada ya kutoka sare 2-2 na Swansea...Wilfred Bony alianza kuona lango la Arsenal na baada ya hapo Arsenal walishindwa kufunda mpaka substitution ilivyo fanyika na Lukas Podolski alivyoingia ndio mambo yalivyo badilika...Katika sekunde 60 mabao mawili yalipatikana...Podolski na Giroud ndio wafungaji...lakini mwishoni Swansea walisawazisha katika goli moja la ajabu...Pata habari zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment