Thursday 20 March 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: VAN-PERSIE NA DE GEA WAIOKOA MAN UNITED


Mechi ya jana ilikuwa yakushangaza kwani Manchester United walikuwa chini kwa aggrigate ya mabao 2 lakini sijui walisali sana au zali tu jana walifanikiwa kupata mabao matatu yote kutoka kwa Van-Persie (mchezaji wa zamani wa Arsenal)...Van-Persie alipachika mabao hayo mnamo dakika za 25 (penalty), 45, na 51...Moyez sasa anapumua kutakana na ushindi huu kwani walitoka kufundishwa soka na Liverpool na kuchapwa 3-0 agame iliyopita...David De Gea alisaidia kupangua shuti mbili ambazo hakika zilikuwa on target moja ilikuwa kichwa na nyingine kupangua shuti la Domininguez...Sasa Man U wameingia robo fainali ya michuano hiyo mikali...

No comments:

Post a Comment