Saturday 29 March 2014

TENNIS: RAFAEL NADAL NA NOVAK DJOKOVIC KUKUTANA SONY OPEN


Wakali wa Tennis Rafael Nadal na Novak Djokovic watakutana tena kwenye fainali za Sony Open huko Miami Marekani...Rafa alifika fainali baada ya mpinzani Tomas Berdych wake kujitoa kutokana na na matatizo ya tumbo...Novak Djokovic pia aliweza kuingia fainali bila shida baada ya mpinzani wake kutoka Japan Kei nishikori kujitoa baada ya kupata maumivu....Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment