Wednesday 19 March 2014

NBA: LEBRON AIZAMISHA CAVS


King James (MVP) jana aliizamisha Cleveland Cavaliers kutokana na shots zake kuzama kwenye net kila anaporuka...LeBron alipata points 43 ambazo ni rekodi ambayo anayo...MVP huyo aliamua kuibeba timu yake hasa kutokana na Dwayn Wade kupunzisha goti...Quarter ya kwanza tu alipata points 25...Alisaidiwa na Chris Bosh ambae alipata points 21 na game iliisha kwa ushindi wa 100-96...Bofya hapa upate habari za King James

No comments:

Post a Comment