Monday 14 March 2016

TURKEY: BABA WA MCHEZAJI NYOTA WA GALATASARAY AFARIKI KWENYE BOMU HUKO ANKARA


Mchezaji maarufu huko Uturuki, Umut Balut, amepoteza baba mzazi, Kamel Bulut, kwenye bomu lililolipuka jijini Ankara jana jioni...Watu 37 wamepoteza maisha jana wakati watu wanarudi majumbani mwao na wengine wanaendelea na shughuli zao za kilasiku...


Mambo ya kigaidi yameikumba Uturuki kwa muda mrefu na sasa raia wa kawaida wanapoteza maisha bila sababu...Hali bado sio shwari katika mji mkuu huo wa Uturuki...



Marafiki, ndugu na jamaa walifika nyumbani kwa Umut kumpa pole katika kipindi hiki kigumu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment