Barcelona imeefanikiwa kuvunja rekodi ya kutofungwa ambayo ilikaa miaka 27 na sasa Barca wana mechi 35 bila kufungwa katika mashindano yote...Barca waliwachapa Rayo Vallecano mabao 1-5 walipofikia hiyo rekodi...Makosa mengi yalikuwa ya kipa na pia kulikuwa na kadi nyekundu 2...Lionel Messi alifanikiwa kupata hat-trick na kuondoka na mpira wake...Bofya hapa upate habari zaidi.
No comments:
Post a Comment