Friday 11 March 2016

BREAKING NEWS: BENITEZ ACHUKUA NAFASI YA STEVE NEWCASTLE


Rafa Benitez kocha wa zamani wa Liverpool na Real Madrid ameingia Newcastle tayari kubadilisha mambo...Baada ya Steve McClaren kutimuliwa Benitez sasa anamlima wa kupanda...Benitez ameingia Newcastle na makocha wasaidizi Fabio Pechia, Francisco de Miguel Moreno na Antonio Gomez Perez...


Rafa amesaini mkataba wa miaka 3 na magpies...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment