Sunday 20 March 2016

F1: NICO ROSBERG ASHINDA AUSTRALIAN GP


Nico Roseberg wa team Mercedes ameshinda Australian GP...Australian GP ilikuwa na mambo mengi toka mwanzo mpaka mwisho...Kubwa ilikuwa ajali kubwa ya McLaren ya Fernando Alonso na Lewis Hamilton kuanza zibaya na kuwa nafasi ya 6 na kupambana mpaka nafasi ya 2...


Nico alifaidika na ajali kwani magari yote yanapunguza mwendo na pia Vettel alitumia matairi ambayo sio ndio maana Nico aliweza kushinda...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment