Monday 21 March 2016

INDIAN WELLS FINAL: VICTORIA AZARENKA AMEMTOA NJE SERENA WILLIAMS NA KUSHINDA KOMBE


Namba 1 duniani Serena Williams ametolewa kwenye michuano ya Indian Wells na Victoria Azarenka...Azarenka aliamua kukomaa alivyoona Serena hapigi serve zake vizuri na kushinda mechi 6-4 6-4...Kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amemchapa Milos Raonic kutoka Canada 6-2 6-0 na kubeba taji la Masters kwa mara ya 27...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment