Friday 11 March 2016

NEWCASTLE: STEVE MCCLAREN ATIMULIWA


Kocha Mkuu wa Newcastle United amefukuzwa kazi...Steve McClaren ameshinda mechi 6 tu kati ya 28 akiwa kocha wa Magpies...Newcastle walizomewa uwanjani walipochapwa 3-1 na timu ndogo ya Bournemouth...Inasemekana boss wa zamani wa Liverpool na Real Madrid Rafa Benitez atachukua jukumu la kuongoza Newcastle...Newcastle sasa wako nafasi ya pili kutoka chini ambapo wako hatiani kushuka daraja...Game inayofuata ni dhidi ya Leicester City ambao wako moto sana na wanaweza kubeba kombe msimu huu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment