Thursday 3 March 2016

COLUMBUS CREW: KEI KAMARA AONGEZA MUDA COLUMBUS CREW


Forward wa Colubus Crew , Kei Kamara, amesaini mkataba mpya na timu yake ya Columbus Crew mpaka 2018...Kamara amesema amefurahi kuwa timu imempa mkataba mrefu wa kucheza first team ya Crew...Columbus Crew inacheza katika ligi kuu ya Marekani ya MLS (Major League Soccer) na Kamara ni kati ya wafungaji bora wa ligi hiyo...Kamara ambae amewahi kuchezea Middlesborough na Norwich City msimu uliopita walipata mabao 26...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment