Sunday 20 March 2016

CAF CHAMPIONS LEAGUE2016: YANGA YASONGA MBELE


Bao la Donald Ngoma nimetosha kuipeleka Yanga round ya 2...Yanga imeitoa APR ya Rwanda katika michuanohiyo mikubwa sana Afrika...Yanga walitoa draw ya 1-1 na kupita kwa aggregate ya 3-2...Mechi nyingine ya Yanga itakuwa kati ya Al Ahly ya Egypt au Recreactivo de Lobolo ya Angola...Bofyya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment