Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 20 March 2016
CAF CHAMPIONS LEAGUE2016: YANGA YASONGA MBELE
Bao la Donald Ngoma nimetosha kuipeleka Yanga round ya 2...Yanga imeitoa APR ya Rwanda katika michuanohiyo mikubwa sana Afrika...Yanga walitoa draw ya 1-1 na kupita kwa aggregate ya 3-2...Mechi nyingine ya Yanga itakuwa kati ya Al Ahly ya Egypt au Recreactivo de Lobolo ya Angola...Bofyya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment