Monday 14 March 2016

ATHLETICS: WAYDE VAN NIEKERK KUTOKA AFRIKA YA KUSINI AWEKA REKODI MPYA KATIKA RIADHA


Wayde van Niekerk amekuwa mtu wa kwanza kukimbia chini ya sekunde 10 kwenye mita 100, sekunde 20 mita 200 na sekunde 44mita 400...Van Niekerk alitumia sekunde 9.98 katika mbio za mita 100  huko Bloemfontein ukijumlisha na sekunde 90.94 mita 200 na sekunde 43.48 mita 400 taji la dunia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment