Wednesday 16 March 2016

CHAMPIONS LEAGUE 2016: MANCHESTER CITY YAFIKA NUSU FAINALI KWA MARA YA KWANZA KABISA


Manchester City kwa mara ya kwanza imefika robo fainali ya Champions League...Man City waliweza kufika hapo baada ya kutoka draw na Dynamo Kiev wakiwa mbele kwa aggregate ya 3-1...Mechi hiyo ilikuwa ovyo sana labda wakati Jesus Navas alipo gonga mwamba lakini mechi haikuwa na mvuto kabisa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment