Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Rafa Benitez. Show all posts
Showing posts with label Rafa Benitez. Show all posts
Sunday, 16 January 2022
Tuesday, 25 April 2017
NEWCASTLE UNITED: BENITEZ BRINGS BACK NEWCASTLE TO TOP FLIGHT FOOTBALL
Rafael Benitez has manaaged to help Newcastle United get an automatic promition back to the Premiership as they put 4 past Preston...
Tuesday, 7 June 2016
ARSENAL: MOUSSA SISSOKO ANATAKA KUIHAMA NEWCASTLE NA KUHAMIA ARSENAL
Thursday, 26 May 2016
NEWCASTLE UNITED: BENITEZ AMEAMUA KUBAKI NEWCASTLE
Raphael Benitez atabakia St. James' Park kwa mkataba wa miaka 3 baada ya Newcastle kushuka daraja msimu uliopita...Benitez aliingia Newcastle mwezi wa 3 baada ya Steve McLarena kutimuliwa kwa kushindwa kuinyanyua Newcastle...Sababu kubwa Benitez amesema ya kubakia Newcastle ni upendo wa mashabiki...Benitez atakuwa anasimamia kilakitu kinachohusu mpira hapo St. James' Park...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 11 March 2016
BREAKING NEWS: BENITEZ ACHUKUA NAFASI YA STEVE NEWCASTLE
Rafa Benitez kocha wa zamani wa Liverpool na Real Madrid ameingia Newcastle tayari kubadilisha mambo...Baada ya Steve McClaren kutimuliwa Benitez sasa anamlima wa kupanda...Benitez ameingia Newcastle na makocha wasaidizi Fabio Pechia, Francisco de Miguel Moreno na Antonio Gomez Perez...
Rafa amesaini mkataba wa miaka 3 na magpies...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 10 March 2016
NEWCASTLE UNITED: RAFAEL BENITEZ NDIE KOCHA WANAYEMTAKA NEWCASTLE
Tuesday, 5 January 2016
REAL MADRD: ZIDANE NDANI YA TIZI LA KWANZA
Kocha mpya wa Real Madrid ambae ni legend, Zinedine Zidane, amewapigisha tizi Madrid kwa mara ya kwanza...Mashabiki 6,000 walijitokeza kuangalia mazoezi ya Madrid...
Zidane ambae aliwahi kuichezea timu hiyo alikuwa anaongoza timu B ya Madrid...
Rafael Benitez alifukuzwa baada ya tathmini kufanywa na kubaini timu inahitaju kocha mpya...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 24 November 2015
REAL MADRID: RAIS WA REAL MADRID AMUUNGA MKONO BENITEZ BAADA YA KICHAPO
Florentino Perez, Rais wa Real Madrid, anamuunga mkono Rafa Benitez baada ya kichapo cha 4-0 kutoka kwa Liverpool...Amesema yeye na bodi wako pamoja na Benitez na kusema kwamba issue sio Benitez issue ni Carlo Ancelotti ambae anaisema vibaya club...Mashabiki walipiga kelele wakitaka rais aondoke baada ya kuchapwa...
Real sasa iko nafasi ya 3 ikipitwa na Barcelona ambao wanaongoza wakiwa points 6 mbele na Atletico wakiwa na points 2 mbele...Perez pia amesema stricker Ronaldo hakusema kwamba wakibaki na huyo kocha hawatashinda...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)










