Tuesday 24 November 2015

REAL MADRID: RAIS WA REAL MADRID AMUUNGA MKONO BENITEZ BAADA YA KICHAPO


Florentino Perez, Rais wa Real Madrid, anamuunga mkono Rafa Benitez baada ya kichapo cha 4-0 kutoka kwa Liverpool...Amesema yeye na bodi wako pamoja na Benitez na kusema kwamba issue sio Benitez issue ni Carlo Ancelotti ambae anaisema vibaya club...Mashabiki walipiga kelele wakitaka rais aondoke baada ya kuchapwa...


Real sasa iko nafasi ya 3 ikipitwa na Barcelona ambao wanaongoza wakiwa points 6 mbele na Atletico wakiwa na points 2 mbele...Perez pia amesema stricker Ronaldo hakusema kwamba wakibaki na huyo kocha hawatashinda...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment