Thursday 12 November 2015

FIFA: SEPP BLATTER ALAZWA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO


Boss wa FIFA, Sepp Blatter, ambae amesimamishwa kwa tuhuma za rushwa amelazwa kutokana na msongo wa mawazo...Blatter atakaa hospitalini mpaka Jumanne ijayo...Blatter alisimamishwa kwa siku 90 kutokana na uchunguzi wa pesa Euro milioni 2 alizompa Platini kwa kazi maalum...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment