Wednesday 25 November 2015

ATHLETICS: MAKAO MAKUU YA RIADHA KENYA YAZINGIRWA NA WANARIADHA



Ofisi kuu ya riadha ya nchini Kenya imezungukwa na wanariadha ilikuzuia maafisa wa kuingia ofisini...Habari kutoka Kenya zinasema wanaridha hao wanataka maafisa kujiuzulu kutokana na kashfa inayowakabili viongozi hao...Pia wamelaumu kuwa viongozi hao wameshindwa kutatua suala la kutumia madawa ya kuongeza nguvu...Wanariadha hao wanataka uongozi uendeshwe na wanariadha wa zamani wanaojua masuala ya riadha...Bofya hapa upate habari zaidi.
 

No comments:

Post a Comment