Friday 27 November 2015

MANCHESTER CITY: KUNA TETESI MESSI ATAPEWA OFA YA £800,000 KWA WIKI


Agents wa Lionel Messi inasemekana wako kwenye mazungumzo apewe pounds laki 8 kwa wiki akienda Man City...Habari hizi zimepatikana kwenye gazeti maaarufu la uingereza la The Sun...Kwa mwaka hiyo dili itakuwa milioni 40...Kwa sasa Messi anapata pounds laki 5 kwa wiki...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment