Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 10 November 2015
FIFA U-17: NIGERIA MABINGWA TENA
Timu ya Nigeria ya watoto wa Mwewe (Eaglets)wameshinda fainali dhidi ya Mali na kunyakua kombe kwa mara nyingine...Mali walichapwa 2-0 na dodo Victor Osimhen alipata bao ambalo kwa ujumla ni mabao 10 toka mashindano yaanze...
Nigeria wanapata kombe kwa mara ya 5 sasa toka wachukue kombe kwa mara ya kwanza 1985...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment