Tuesday 17 November 2015

TAIFA STARS: ULIMWENGU AUMIA ZOEZINI



Thomas Ulimwengu ameumia goti akiwa zoezini na bado haijulikani kama atacheza mechi ya leo...Bado madaktari wanaendelea kuangalia maendeleo ya goti kabla ya mechi ambayo lazima tushinde ili tusonge mbele...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment