Saturday 28 November 2015

NBA: STEPHEN CURRY AJIITA MESSI WA NBA


MVP wa NBA, Stephen Curry, ambae amesaidia timu take ya Golden State Warriors kuvunja rekodi ya kutofungwa na pia kavunja rekodi take mwenyewe ya 3 points amesema yeye Ni Messi wa NBA...Jinsi Messi anavyopiga chenga ni jinsi yeye anavyo fanya mambo kwenye ligi ya basketball ya NBA...Bofya hapa upate jabari zaidi.

No comments:

Post a Comment