Friday 13 November 2015

WORLD CUP: GAME YA ARGENTINA NA BRAZIL YASIMAMISHWA



Mechi ya wakongwe Argentina na Brazil ilisimamishwa kutokana na mvua kali zilizonyesha Buenos Aires...Mechi ilisimamishwa saa 1 kabla mechi haijaanza na kufanya mashabiki wa kwame wakishindwa kwenda nyumbani...


Mechi hiyo ya kufuzu World Cup itachezwa leo saa 9 usiku...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment