Monday 16 November 2015

NIGERIA: TIMU YA TAIFA YA VIJANA U-23 YANUSURIKA AJALI YA NDEGE



Timu ya vijana ya Nigeria chini ya umri wa miaka 23. The Dream Team VI, chini ya kocha maarufu Samson Siasia wamenusurika baada ya ndege yao kupata hitilafu angani na kulazimika kushuka Ghana...

Samson Siasia, Kocha wa vijana U-23
Timu hiyo ilikuwa inaelekea Gambia kujitayarisha na mashindano ya Africa U-23...Bofya hapa upate bahari zaidi.

No comments:

Post a Comment