Friday 27 November 2015

ITF EAST AFRICA JUNIOR CIRCUIT: MALLYA NDANI YA ROBO FAINALI


Dogo Emmanuel Mallya ameendelea kufanya vizuri baada ya kuingia robo fainali ya michuano ua tennis ya vijana chini ya umri wa miaka 18...Mallya alimchapa Eduardo Molais kutoka Angola seti zote ndani ya jiji la Nairobi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment