Showing posts with label Benitez. Show all posts
Showing posts with label Benitez. Show all posts

Thursday, 26 May 2016

NEWCASTLE UNITED: BENITEZ AMEAMUA KUBAKI NEWCASTLE


Raphael Benitez atabakia St. James' Park kwa mkataba wa miaka 3 baada ya Newcastle kushuka daraja msimu uliopita...Benitez aliingia Newcastle mwezi wa 3 baada ya Steve McLarena kutimuliwa kwa kushindwa kuinyanyua Newcastle...Sababu kubwa Benitez amesema ya kubakia Newcastle ni upendo wa mashabiki...Benitez atakuwa anasimamia kilakitu kinachohusu mpira hapo St. James' Park...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 10 March 2016

NEWCASTLE UNITED: RAFAEL BENITEZ NDIE KOCHA WANAYEMTAKA NEWCASTLE


Baada ya kocha Steve McClaren Newcastle wako tayari kumchukua Rafa Benitez kuwasaidia...Newcastle ni timu kongwe ambayo iko hatiani kushuka daraja na kocha atakayechaguliwa inabidi awe mwenye uzoefu kweli kweli...Benitez aliwahi kuwa kocha wa Liverpool na alishachukua Champions League akiwa na wazee wa the Kop...Pia amewahi kuwa kocha wa Chelsea kwa muda mfupi na hivi karibuni alikuwa kocha wa Real Madrid lakini alitimuliwa baada ya muda mfupi...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 5 January 2016

REAL MADRD: ZIDANE NDANI YA TIZI LA KWANZA


Kocha mpya wa Real Madrid ambae ni legend, Zinedine Zidane, amewapigisha tizi Madrid kwa mara ya kwanza...Mashabiki 6,000 walijitokeza kuangalia mazoezi ya Madrid...



Zidane ambae aliwahi kuichezea timu hiyo alikuwa anaongoza timu B ya Madrid...



Rafael Benitez alifukuzwa baada ya tathmini kufanywa na kubaini timu inahitaju kocha mpya...Bofya hapa upate habari zaidi.