Wednesday 29 January 2014

WORLD CUP: FALCAO ATAKOSA WORLD CUP 2014


Habari ambazo sio nzuri zimekuja kutoka Monaco kwamba Radamel “El Tigre” Falcao hatoweza kucheza World Cup kwasababu juraha alipopata wakati akicheza mpira...Falcao amechana ACL na itachukua zaidi ya miezi mitano kupona vizui...World Cup bado miezi mitano tu...

Colombia ndio wamepata pigo kubwa sana kwani Falcao ni mchezaji wa kutegemewa sana huko kwao...Falcao amesema bado anataka kucheza World Cup na atajitahidi apone haraka...Max Sports inamtakia matibabu mema na ya haraka...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment