Tuesday 28 January 2014

NBA: OKC YASHINDA GAME YA NANE MFULULIZO IKISAIDIWA NA DURANT


Kevin Durant aliwaokoa Oklahoma City mwishoni kwa kufunga wakati zimebakia sekunde 1 nukta 5 kwenye clock wakiwafunga Atlanta Hawks 111-109...Durant alimaliza game ana pointi 41...half time ilivyofika OKC walikuwa chini pointi 14...Durant sasa kati ya mechi 11 anafunga zaidi ya pointi 30 kwa game hii haijatokea toka March na April 2003 wakati Tracy McGady alipoweza kucheza mechi 14 na zote kupata pointi zaidi ya 30...Kevin Durant akishangilia bao hapo juu (pichani) akiwa na mtanzania Hasheem Thabit anayechezea OKC...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment