Monday 20 January 2014

EPL: UKWELI WAMUUMA DAVID MOYEZ BAADA YA KICHAPO KUTOKA CHELSEA



David Moyez na timu yake ya Manchester United jana ilichabangwa mabao 3-1 na Chelsea ambapo mabao yote ya Chelsea yalitoka kwa Samuel Eto'o...Manchester United ilionekana inakiwango cha chini kabisa na Chelsea alikuwa hatari na makini kipindi chote...Goli la kwanza la Eto'o lilikuwa vuri sana...Mabeki wa Manchester United walionekana kujisahau nyuma na kutokuwa makini kukaba...Dogo mmoja tu wa Manchester United Adnan Januzaj ndio ameonesha ujuzi wa hali ya juu lakini peke yake hawezi kuibadilisha timu...Inabida Rooney na Van Persie warudi tu na wazee wote watolewe kabisa...Sasa United wamepoteza mechi 7 kati ya mechi 22...Mechi hiyo imeona kocha wa Chelsea Jose kupata magoli 100...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment