Wednesday 29 January 2014

EPL: LIVERPOOL YAIGONGA EVERTON MABAO 4


Jana usiku Liverpool iliichabanga Everton katika derby ambayo dakika 35 tu Everton ilikuwa imechapwa mabao 3 na kushangaa tu...Steve Gerrard akifunga goli la kichwa na Daniel Sturrige akipata mabao mawili baada ya dakika tatu tu na badae Suarez akamalizia la nne dakika ya 50...Machungu ya Everton yalizidi baada ya Romelu Lukaku kutolewa akiwa na maumivu makali baada ya kuumizwa na Gareth Barry...Liverpool wanasherekea ushindi mkubwa wa derby toka 1982...Bofya hapa upate habari za derby.....

No comments:

Post a Comment