Saturday 18 January 2014

EPL: ARSENAL YAENDELEA KUSHIKA USKANI


Arsenal bado yashikilia uskani baada ya kumchapa Fulham mabao mawili kwa mtungi....Mechi iliyomalizika muda si mrefu iliona mabao yakitoka kwa Santi Carzola dakika ya 57 na ya 62...Arsenal sasa imeshinda mechi tano mfululizo na kubakia kileleni kwa sasa...Bofya hapa upate mambo zaidi...

No comments:

Post a Comment