Friday 17 January 2014

F1: DENNIS ARUDI McLAREN


Ron Dennis arejea tena McLaren kuiongoza timu hiyo kama C.E.O....Ron aliondoka McLaren mwaka 2009 na kumwachia Martin Whitmarsh lakini baada ya hiyo timu kutofanya vizuri na kukosa ushindi kwa miaka mitano sasa Ron amerejea kuweka mambo sawa...Ron alikaa McLaren miaka 27 lakini badae kulitokea scandal ya kudanganya ndio ikabidi aachie ngazi na kusaidia kutengeneza magari ya commercial sports na pia kubakia kama Chairman ambapo sasa pia ni Chairman na C.E.O...Mabadiliko haya yamekuja kabla ya pre-testing huko Jerez, Spain na mashindano ambayo yanaanza Melbourne, Australia Machi 16...

No comments:

Post a Comment