Saturday 25 January 2014

VPL: YANGA YAINGIA UWANJANI NA WAUZA MITUMBA LEO



Mabingwa watetezi Dar es Salaam Young Africans (Yanga) leo inaingia uwanjani na wauza mitumba au kwa jina lingine Ashanti...Yanga walitoka safarini Uturuki ambapo iliweka kambi kwa wiki 2 na kujifua ili wawe fiti kwa round nyingine ya ligi...Max Sports inawatakia timu zote mbili heri na pia mashabiki wote nendeni mkashangilie timu hizo...

No comments:

Post a Comment