Friday 17 January 2014

SOCCER: SIMBA VS. MTIBWA KESHO


Simba au kwa jina jipya Mtani Jembe anaingia uwanjani na Mtibwa Sugar kwenye mechi ya kirafiki ili kujiweka sawa kabla ya ligi kuu...Kiingilio ni kuanzai buku 5 viti vya orange na blue, VIP C 7,000, VIP B 10,000 na VIP A 20,000...Simba inaingia kucheza ikiwa imetoka kwenye mashindano ya mapinduzi ambapo ilitoka mshindi wa pili...

No comments:

Post a Comment