Wednesday 8 January 2014

CAPITAL ONE CUP: MAN U YACHAPWA TENA YASINGIZIA MAREFA


Manchester United yachapwa na Sunderland 2-1 kwenye mechi ya nusu fainali ya Capital One Cup...Manchester wamefululiza kuchapwa na sasa Moyez ameamua kulaumu marefa ili kujiokoa asitoswe kama AVB na wengine...Kila mechi sasa kocha wa zamani Sir. Alex amekuwa akijitokeza kucheki jinsi timu yake ya zamani inavyo chapwa...Watu wengi wanasema kujitokeza kwa Sir. Alex kunamuharibia sana Moyez...Bofya hapa upate habari zaidi.....

No comments:

Post a Comment