Thursday 16 January 2014

FA: MAN CITY YAENDELEA KUONGEZA MAGOLI



Man City jana iliendelea kukusanya magoli baada ya kuichapa Blackburn Rovers mabao 5 kwa mtungi kwenye mechi ya FA ambayo sasa inaiona Man City ikiingia roundi ya 4 sasa...Mabao yalitoka kwa Negredo ambaye alipachika mawili pia Dzeko nae alipachika mawili na Aguero alipachika moja...Sergio ndio amerudi baada ya kuumia...Bofya hapa kwa habari zaidi...

No comments:

Post a Comment