Man City jana iliendelea kukusanya magoli baada ya kuichapa Blackburn Rovers mabao 5 kwa mtungi kwenye mechi ya FA ambayo sasa inaiona Man City ikiingia roundi ya 4 sasa...Mabao yalitoka kwa Negredo ambaye alipachika mawili pia Dzeko nae alipachika mawili na Aguero alipachika moja...Sergio ndio amerudi baada ya kuumia...Bofya hapa kwa habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 16 January 2014
FA: MAN CITY YAENDELEA KUONGEZA MAGOLI
Man City jana iliendelea kukusanya magoli baada ya kuichapa Blackburn Rovers mabao 5 kwa mtungi kwenye mechi ya FA ambayo sasa inaiona Man City ikiingia roundi ya 4 sasa...Mabao yalitoka kwa Negredo ambaye alipachika mawili pia Dzeko nae alipachika mawili na Aguero alipachika moja...Sergio ndio amerudi baada ya kuumia...Bofya hapa kwa habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment