Thursday 30 January 2014

NBA: OKC YAIGEUKIA HEAT


OKC iliionyesha Miami Heat kwamba wako fiti na sio timu ya madogo wakuchezewa...OKC walikuwa chini 22-4 mwanzo wa game na kumaliza na uchindi wa 112-95...Sasa Kevin Durant amefikia rekodi ya Tracy Mcgrady ya kufunga zaidi ya point 30 kwenye games 12 mfululizo...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment