Thursday 23 January 2014

AUSTRALIAN OPEN: ANDY MURRY ATUPWA NJE YA MASHINDANO


British namba 1 Andy Murry jana aliaga mashindano ya Australian Open kwa kuchapwa set nne 6-3 6-4 6-7 (8-6) 6-3 na Roger Federer...Andy hakuwa na uwezo jana ingawa ameshamchapa sana Federer michuano ya nyuma lakini jana alishindwa vibaya sana...Andy alishindwa ku 'break' set mbili za mwanzo pia alipata wakati mgumu kutokana na 'serve' ya Federer kuwa kali sana...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment