Thursday 23 January 2014

SOCCER: FALCAO AUMIA UWANJANI


Striker mkali sana kutoka Colombia Radamel Falcao aliumia vibaya sana kwenye mechi ya kombe la Ufaransa akichezea timu ya Monaco...Mnamo dakika ya 40 jamaa wa timu pinzani, Soner Ertek, alimvaa Falcao na kumuumiza goti la kushoto...Bado haijajulikana kwa kiwangogani ameumia Falcao na pia iko hofu anaweza asicheze World Cup huko Brazil mwaka huu...Falcao alinunuliwa kutoka Atletico Madrid kwa kitita cha milioni 60 euros...

No comments:

Post a Comment