Friday 24 January 2014

F1: McLAREN YAZINDUA GARI YAO MPYA



McLaren timu ya mashindano ya magari ya F1 imekuwa timu ya kwanza kuzindua gari lao jipya la msimu ambao utaanza muda si mrefu...Gari hilo limepewa jina la MP4-29...

Habari hizi ni njema lakini zilizidiwa na habari kwamba McLaren wamemuiba mtaalam kutoka timu ya Lotus...McLaren hawajafanya vizuri kwa muda sasa mpaka boss wao Martin Whitmarsh ilibidi aachie ngazi...Soma zaidi hapa kuhusu timu ya Mclaren...

No comments:

Post a Comment